| [email protected] |
|
Member Joined Apr 16 2010
Actions
General Info
tanga
Site Memberships
Force Focus |
About Me
Naitwa shufaa Yasini, nimezaliwa mwaka 1986, mkoani morogoro. Katika familia yetu mimi ni mtoto wa kwanza. Nina wadogo zangu 3. Kabila langu ni mhehe ila nimekulia sana tanga na kusoma tanga. Nimesoma shule ya msingi changa na sekondari nimesoma shule ya sekondari usagara. Baada ya kumaliza elimu ya sekondari mwaka 2006 sikufanikiwa kupata crediti ndipo mwaka unaofuata nikaamua kurudia masomo yangu na kwa bahati nzuri nilifanikiwa kupata crediti 3. Ila combi niliyokua naitaka sikufanikiwa nilipangiwa HKL nami sikuipenda. Ndipo mwaka unaofuata nikaamua kutuma maombi wizarani kuomba nafasi ya ualim nakufanikiwa nikapangiwa chuo cha ualim nachingwea. Na kwa sasa nipo mwaka wa kwanza. Matarajio yangu ya baadae baada ya kuhitimu ualim ninampango wa kujiendeleza kimasomo zaidi. Post a CommentOops!The words you entered did not match the given text. Please try again. 0 Comments |
Oops!
Oops, you forgot something.